
Kocha wa Man United Jose Mourinho ameweka wazi sababu zilizomfanya amuache Ibrahimovic katika safari ya China, maswali yalikuwa mengi kutokana na Zlatankupewa mapumziko marefu licha ya Sweden kutolewa mapema Euro 2016 katika hatua ya makundi wiki moja kabla ya England kutolewa lakini wachezaji wa England wapo katika timu.

Uamuzi wangu wa kumuacha Zlatan katika tour umechukua saa kadhaa na kujadiliana na staff licha ya kuwa Zlatan walitolewa mapema Euro, yaani mechi moja kabla ya England kwa sababu, miili ipo tofauti, akili zipo tofauti hivyo anahitaji muda wa kuzoea kwa kupata mapumziko ya kutosha”
watch the video in the link provided
blob:https%3A//www.youtube.com/06b79310-684a-4ddd-9859-42fcc924652b
No comments:
Post a Comment